- 464 viewsDuration: 59sMabingwa watetezi wa Nyanza na kitaifa, Obunga FC na Plateau Queens, maarufu kama Nyakach Girls, watawania kutetea mataji yao katika fainali za ukanda wa Nyanza za Safaricom Chapa Dimba. Fainali hizo zinatarajiwa kuanza kutifua kivumbi mwishoni mwa wiki hii.