- 2,032 viewsDuration: 2:37Operesheni maalum ya maafisa wa usalama inaendelea katika mpaka wa Kisii na Transmara kufuatia mapigano yaliyosababisha vifo vya watu wawili. Mapigano hayo yamewaacha makumi ya watu na majeraha, huku pia yakiathiri ufunguzi wa zaidi ya shule kumi katika eneo la mpakani.