Skip to main content
Skip to main content

Philip Okumu asimikwa kuwa naibu chifu wa Matisi Bungoma

  • | Citizen TV
    1,143 views
    Duration: 1:35
    Philip Okumu ameapishwa rasmi kuwa naibu chifu wa Matisi, Bungoma, baada ya uteuzi wake kukumbwa na utata kwa muda wa miezi kadhaa. Hatua hiyo imehitimisha mchakato wa uteuzi na kumwezesha Okumu kuanza rasmi majukumu yake.