- 2,781 viewsDuration: 3:35Polisi mijini Kitale na Nakuru wanachunguza visa viwili tofauti vya mauaji, ambapo mjini Kitale mfanyabiashara mmoja aliuawa kwa kukatwa kwa panga na wezi ambao walitoroka na fedha za mahari. Na huko Nakuru, mwili wa mwanamke mmoja aliyeripotiwa kupotea wiki mbili zilizopita ulipatikana ukiwa umekatwakatwa .