7 Sep 2026 10:56 am | Citizen TV 769 views Duration: 1:02 Raia wawili wa Italia wanaokabiliwa na kesi ya ulaghai mjini Malindi wameachiliwa kwa dhamana ya KSh 4 milioni kila mmoja. Wawili hao wanadaiwa kuwalaghai wanunuzi wa nyumba kiasi cha KSh 20 milioni.