SHERIA YA UTAJIRI WA TAIFA
Mswada wa hazina ya utajiri wa taifa wa mwaka wa 2026 sasa umekuwa sheria baada ya Rais William Ruto kuutia saini hivi leo. Sheria hiyo muhimu inaanzisha mfumo wa kisheria wa kudumu ambao ni wa kwanza humu nchini, utakaohakikisha mapato kutoka rasilimali za kiasili yanahifadhiwa kwa uangalifu, yanawekezwa kwa kitaalamu na kugawanywa kwa usawa kwa vizazi mbalimbali. Sheria hiyo itafanya kazi chini ya hazina tatu kuu, ikiwemo hazina ya vizazi vijavyo.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive