Skip to main content
Skip to main content

Rais Ruto azindua mpango kabambe wa kuboresha jiji la Nairobi

  • | KBC Video
    366 views
    Duration: 2:58
    Rais William Ruto ametangaza mpango mkubwa wa mabilioni ya fedha unaolenga kuboresha miundombinu, makazi na mfumo wa elimu jijini Nairobi, akiahidi kulifanya liwe jiji kuu linaloambatana na hadhi yake kama mapito ya Afrika Mashariki. Akiwa katika ziara kwenye eneobunge la Kibra, Rais alitangaza uwekezaji wa shilingi bilioni 80 kwa ujenzi wa barabara, taa za barabarani na kushughulikia taka, pamoja na miradi mikubwa ya makazi na ujenzi wa shule.Alisema hatua hizi ni sehemu ya mpango mpana wa kuifanya Nairobi kuwa ya kisasa na kuboresha maisha ya wakazi wake. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive