- 2,062 viewsDuration: 1:58Rais William Ruto ameendelea kuahidi kukabiliana na wahuni wanaosababisha ghasia kwenye mikutano ya kisiasa nchini. Aidha, rais aliyeendelea na ziara yake ya Kaunti ya Narok ameapa kutoa upinzani mkali dhidi ya wanasiasa wa upinzani kwenye kinyang'anyiro cha mwaka ujao. Na kama Seth Olale anavyoarifu, rais aliendelea kuzindua miradi ya maendeleo.