Skip to main content
Skip to main content

Ruto afungua kongamano la AmCham Nairobi, uwekezaji na sera za biashara zajadiliwa

  • | Citizen TV
    849 views
    Duration: 3:48
    Rais William Ruto amefungua rasmi Kongamano la Biashara la AmCham jijini Nairobi. Mkutano huo wa kikanda unawaleta pamoja wadau kujadili uwekezaji, biashara na sera, huku masuala muhimu ya uchumi yakitarajiwa kuangaziwa.