Skip to main content
Skip to main content

Ruto apunguza kiwango cha ushuru kwa wafanyabiashara

  • | Citizen TV
    4,587 views
    Duration: 2:26
    Ni afueni kwa wafanyibiashara ndogo baada ya serikali kupunguza kiwango cha ushuru uliokuwa umeongezwa kwa zaidi ya shilingi milioni moja. Rais William Ruto sasa akiamuru mamlaka ya kukusanya ushuru KRA kushukisha ushuru huo hadi shillingi millioni 2 kutoka shilingi milioni 3.2.