- 5,438 viewsDuration: 2:45Rais William Ruto ameendelea kukejeli wapinzani wake anaosema wamekosa ajenda, huku akianza ziara ya siku tatu ya kaunti ya Kajiado. Rais aliyezindua miradi kadhaa ya maendeleo akipigia debe miradi ya serikali yake anayosema itamfikia kila mkenya