- 20,053 viewsDuration: 3:30Rais William Ruto sasa amewataja wapinzani wake kama vibaraka wanaolipwa na kufadhiliwa na mdhamini wao, Rais mstaafu Uhuru Kenyatta. Rais amesema wapinzani hao wanafadhiliwa kwa lengo la kuipinga serikali na kuhujumu utendakazi wake. Aidha, Rais Ruto ameendelea kutetea makato ya SHA na mpango wa nyumba za bei nafuu kutoka kwa mishahara ya walioajiriwa, akisisitiza kuwa mapato hayo yamechangia kuendeleza uchumi wa taifa.