11 Sep 2026 11:09 am | Citizen TV 1,845 views Duration: 2:45 Rais William Ruto amesema ametimiza ahadi alizowaahidi Wakenya. Akiwa katika ziara ya Kericho, Ruto amewataka wakazi wa Rift Valley kujisajili kuwa wapiga kura, akilenga kupata kura milioni 4 katika ngome yake.