Skip to main content
Skip to main content

Ruto: Upinzani wapanga vitisho vya kikabila kabla ya uchaguzi

  • | Citizen TV
    10,658 views
    Duration: 3:19
    Rais William Ruto anadai kuwa kuna njama ya wanasiasa wa upinzani kuwatisha wapiga kura kikabila katika ngome zao kabla ya uchaguzi mkuu ujao. Akizungumza katika Kaunti ya Kajiado, Rais Ruto ameendelea kujipigia debe, akisema upinzani hauna ajenda ya maana ya kumuangusha katika uchaguzi huo. Seth Olale ana taarifa kamili.