10 Sep 2026 1:43 pm | Citizen TV 3,256 views Duration: 3:41 Wakfu wa Safaricom umejenga madarasa mapya katika Shule ya Nyankororo, Ibengo, Nyaribari Chache, kwa gharama ya Sh55 milioni. Shule hiyo ilikuwa katika hali duni kabla ya mradi huo.