Skip to main content
Skip to main content

Safaricom yazindua mradi wa Ksh.51M wa shule ya mahitaji maalum Eldoret

  • | Citizen TV
    433 views
    Duration: 1:43
    Kampuni ya Safaricom imezindua mradi wa KSh 51 milioni katika shule ya wanafunzi wenye mahitaji maalum mjini Eldoret. Mradi huo unahusisha ujenzi wa mabweni, madarasa na kisima cha maji kwa lengo la kuboresha mazingira ya kujifunzia na maisha ya wanafunzi.