- 409 viewsDuration: 1:40Seneta wa Makueni ameilaumu serikali kwa kuongezeka kwa visa vya utekaji nyara nchini. Kauli hiyo inajiri baada ya mhariri wa Standard Group kutekwa nyara na baadaye kuachiliwa, huku wito ukitolewa kwa serikali kuchukua hatua kulinda usalama wa Wakenya.