Skip to main content
Skip to main content

Serikali kuanza kuuza mafuta ya Turkana Desemba

  • | Citizen TV
    4,341 views
    Duration: 3:56
    Serikali inapania kuanza kuuza mafuta nje ya nchi kufikia disemba mwaka huu. Haya ni kwa mujibu wa waziri wa kawi na petroli Opiyo Wandayi. Akizindua uchimbaji wa visima zaidi vya mafuta katika eneo la Lokichar, kaunti ya Turkana, Wandayi amesema kuwa takriban matangi laki sita ya mafuta yatachimbwa kila mwezi na kusafirishwa kutoka Turkana hadi kwenye bandari ya Mombasa ili kuuzwa nchi za nje.