Skip to main content
Skip to main content

Shughuli za masomo katika shule za mpakani mwa kaunti za Migori na Narok zimesitishwa

  • | Citizen TV
    168 views
    Duration: 1:51
    Kwa siku ya tatu sasa, shughuli za masomo katika Shule za mpakani mwa kaunti za Migori na Narok huko Gwitembe na Angata Barrakoi zimesitishwa huku vita vya umiliki wa ardhi katika Maeneo hayo vikiendelea.