11 Sep 2026 10:26 am | Citizen TV 325 views Duration: 1:50 Watoto wenye ulemavu wa kusikia katika Kaunti ya Bungoma sasa wana matumaini ya kupata elimu karibu na kwao, baada ya Shule ya Msingi ya Watoto wasio na uwezo wa kusikia ya Kabuchai kukarabatiwa.