Skip to main content
Skip to main content

Shule ya walemavu wa kusikia Kabuchai yazindua madarasa matatu mapya

  • | Citizen TV
    325 views
    Duration: 1:50
    Watoto wenye ulemavu wa kusikia katika Kaunti ya Bungoma sasa wana matumaini ya kupata elimu karibu na kwao, baada ya Shule ya Msingi ya Watoto wasio na uwezo wa kusikia ya Kabuchai kukarabatiwa.