17 Sep 2026 7:51 pm | Citizen TV 22,108 views Duration: 32s Kesi dhidi ya Seneta wa Nairobi, Edwin Sifuna, imewasilishwa mahakamani, ikimtaka awajibike kuhusu fedha ambazo amekuwa akikusanya kutoka kwa wananchi kwa ajili ya kuendesha kampeni za Linda Mwananchi.