Skip to main content
Skip to main content

St. Joseph Starlets na LYSA watawazwa mabingwa wa Safaricom Chapa Dimba Kanda ya Kati

  • | Citizen TV
    892 views
    Duration: 1:04
    Timu za St. Joseph Starlets kutoka Murang’a na Laikipia Youth Soccer Academy (LYSA) zimetawazwa mabingwa wa toleo la tano la mashindano ya Safaricom Chapa Dimba Kanda ya Kati baada ya kushinda fainali zilizochezwa Jumapili jioni.