- 26,393 viewsDuration: 2:55Hayo yakijiri, imebainika kuwa raia wengi wa Burundi huingia nchini kupitia njia za mkato na vichochoro na kuishi nchini bila stakabadhi rasmi. Baadhi ya Warundi tuliozungumza nao wamekiri kuwa wameishi nchini bila vibali vyovyote kwa miaka mingi. Ben Kirui anaeleza sababu za taharruki kubwa miongoni mwa raia wa Burundi wanaoendelea kuondoka nchini kufuatia agizo la Rais William Ruto.