Skip to main content
Skip to main content

Tanzania yafuzu 16 bora CHAN, Uganda yataaga baada ya kupoteza 3-1 kwa Nigeria

  • | Citizen TV
    1,439 views
    Duration: 57s
    Timu ya taifa ya Tanzania imefuzu hatua ya 16 bora kwenye mchuano wa CHAN kufuatia sare ya bao moja dhidi ya Tunisia usiku wa jana. Uganda wameyaaga mashindayo kwa kichapo cha tatu moja kutoka kwa Nigeria.