Skip to main content
Skip to main content

Tetesi za kupandishwa kwa karo za sekondari zaibua mvutano kati ya serikali na Ndindi Nyoro

  • | Citizen TV
    1,938 views
    Duration: 3:27
    Sintoifahamu imeibuka katika sekta ya elimu kuhusu tetesi kuwa karo ya sekondari ya juu zitapanda mwakani. Licha ya serikali kupinga taarifa hiyo, mbunge wa Kiharu Ndindi Nyoro sasa anasema serikali ina mpango wa kuongeza karo kinyume cha sheria. Kulingana na Nyoro, karo ya mwaka ujao ya shule za upili za siku itaongezwa kwa shilingi 9,374 kwa kila mwanafunzi katika shule za umma