Skip to main content
Skip to main content

Uharibifu wa makazi ya wanyama pori ni chanzo kikuu cha mzozo na binadamu

  • | Citizen TV
    205 views
    Duration: 1:56
    Uharibifu wa makazi ya wanyama pori umetajwa kama chanzo kikubwa cha migogoro baina ya wanyama na binadamu nchini. Katibu wa uhifadhi katika idara ya wanyama pori Dkt. John Kipkorir Chumo amesema kuongezaka kwa idadi ya watu kumechangia uharibifu wa mazingira na kusababisha wanyama kuingia maeneo ya makazi ya binadamu hali inayohatarisha maisha yao.