Skip to main content
Skip to main content

Ujenzi wa barabara ya ushirika huko Olkeri Kajiado wakwama

  • | Citizen TV
    642 views
    Duration: 5:58
    Wakazi wanaotumia Barabara ya Ushirika Kwenye wadi ya Olkeri kaunti ya Kajiado wanalalamikia kukwama Kwa mradi wa Barabara tangu mwaka wa 2019.Wanasema mwanakandarasi alitelekeza ujenzi wa Barabara hiyo na kuwacha wakazi kuhangaika wakati wanasafiri, pia visa vya kihuni vimeongezeka kwenye Barabara hiyo