Skip to main content
Skip to main content

Ujenzi wa nyumba za bei nafuu Makueni wachelewa

  • | Citizen TV
    1,082 views
    Duration: 1:09
    Ujenzi wa nyumba za bei nafuu Makueni uliotarajiwa kukamilika mwezi Novemba umechelewa. Mshirikishi wa serikali Jacob Muganda amemlaumu mkandarasi kwa kuchelewesha kukamilika kwa mradi huo.