Skip to main content
Skip to main content

Uwekezaji viwandani Murang’a wachochea ukuaji wa uchumi

  • | Citizen TV
    364 views
    Duration: 1:32
    Maendeleo ya Eneo Maalum la Uchumi la Makenji, Murang’a, yanaendelea kuimarisha shughuli za uzalishaji viwandani. Uzalishaji wa bidhaa katika eneo hilo umeelezwa kuwa na mchango katika kukuza uchumi na kuongeza fursa za maendeleo.