Skip to main content
Skip to main content

Vihiga: Ajuza wa miaka 96 ateketea ndani ya nyumba yake

  • | NTV Video
    1,202 views
    Duration: 2:56
    Huzuni imetanda katika Kijiji cha Lwombei, Kata ya Gisambai, Kaunti ya Vihiga, baada ya ajuza mwenye umri wa miaka 96 kupoteza maisha kwa kuteketea ndani ya nyumba yake usiku. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenyans. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows. Website: https://www.ntvkenya.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya