Skip to main content
Skip to main content

Vijana washauriwa kutumia vyema vituo vya dijitali Bungoma

  • | Citizen TV
    243 views
    Duration: 2:07
    Vijana wametakiwa kuepukana na matumizi mabaya ya mitandao na badala yake kuitumia katika kubuni nafasi za ajira na kujiendeleza maishani. Akizungumza kule ndengelwa katika wadi ya bukembe west kaunti ya bungoma wakati wa uzinduzi wa kituo Cha kidijitali kilichoanzishwa na mwakilishi wadi Anthony lusenaka,gavana wa bungoma Ken Lusaka amesema kuwepo kwa kituo hicho ni mwamko mpya kwa ndoto za vijana katika kujiimarisha na kuinua uchumi wa eneo hilo.