Skip to main content
Skip to main content

Viongozi kutoka Kirinyaga washinikiza muungano wa upinzani kutaja mgombea mmoja wa urais

  • | NTV Video
    1,212 views
    Duration: 1:36
    Viongozi wa kisiasa katika kaunti ya Kirinyaga wameendelea kushinikiza muungano wa upinzani kutaja mgombea mmoja wa urais kwa lengo la kuunganisha nguvu za kumng’oa rais William Ruto madarakani mwaka ujao. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenyans. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows. Website: https://www.ntvkenya.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya