Skip to main content
Skip to main content

Viongozi wa dini Uasin Gishu wataka wanasiasa wahubiri amani

  • | Citizen TV
    378 views
    Duration: 58s
    Viongozi wa dini katika Kaunti ya Uasin Gishu wamewataka wanasiasa kuhubiri amani, umoja na mshikamano miongoni mwa wananchi. Wameonya dhidi ya siasa zinazoweza kuchochea migawanyiko na kuvuruga amani nchini.