7 Sep 2026 1:51 pm | Citizen TV 976 views Duration: 2:33 Viongozi wa Lamu wameahidi kumuunga mkono Rais William Ruto kuelekea uchaguzi wa 2027, wakitaja masuala ya usalama na utekelezaji wa miradi ya maendeleo kama baadhi ya vigezo vya kumpigia debe.