Skip to main content
Skip to main content

Viongozi wa Pwani wamsuta Gachagua kwa madai ya kuiba kura

  • | Citizen TV
    2,533 views
    Duration: 2:31
    Baadhi ya Viongozi kutoka pwani wameendelea kumsuta aliyekuwa naibu wa rais Rigathi Gachagua dhidi ya madai ya wizi wa kura wakisema gachagua analenga kuwapotosha wakenya.