Skip to main content
Skip to main content

Waandishi wa habari wa Morocco wasusa mkutano wa kocha wa Morocco

  • | BBC Swahili
    3,264 views
    Duration: 47s
    Tazama waandishi wa habari wa Morocco wakitoka nje baada ya kocha wa Senegal, Pape Thiaw, kuwasili katika mkutano wake na waandishi wa habari baada ya kushinda Kombe la Mataifa ya Afrika Afcon Tukio hilo lilizua sintofahamu iliyosababisha mkutano wa waandishi wa habari kufutwa. #bbcswahili #morocco #senegal