Skip to main content
Skip to main content

Wachimbaji madini Kwale wataka sheria izingatiwe

  • | Citizen TV
    562 views
    Duration: 1:49
    Muungano wa wachimbaji madini katika Kaunti ya Kwale unataka sheria na kanuni za uchimbaji madini zizingatiwe. Muungano huo umesema baadhi ya wachimbaji wadogo wamekuwa wakijihusisha na shughuli zinazoharibu mazingira, na kusisitiza umuhimu wa uchimbaji unaozingatia uhifadhi wa mazingira.