24 Aug 2026 1:21 pm | Citizen TV 2,756 views Duration: 4:01 Gharama kubwa ya mafunzo, ada za kutua na kuegesha ndege, pamoja na msongamano katika Uwanja wa Ndege wa Wilson, zimeendelea kutajwa kama baadhi ya changamoto zinazokwamisha ukuaji wa sekta ya usafiri wa anga nchini.