- 313 viewsDuration: 1:31Wafanyabiashara wadogo mpakani Busia na Malaba hasa wanawake wanaohudumu katika nchi za Uganda, Congo na mataifa mengine ya Jumuiya ya Afrika Mashariki wametakiwa kuwa na subira huku serikali ikipania kuondoa vikwazo vya biashara kama kodi za juu.