Skip to main content
Skip to main content

Wafungwa Ruman¬de Nairobi wanufaika na matibabu ya bure

  • | Citizen TV
    655 views
    Duration: 1:27
    Shirika la kijamii limetoa huduma za matibabu bila malipo kwa wafungwa katika gereza la Ruman¬de, Nairobi. Katibu wa Idara ya Magereza, Beacco, amepongeza ushirikiano kati ya jamii na magereza katika kusaidia kuboresha ustawi wa wafungwa.