Skip to main content
Skip to main content

Wagombea wa UDA Kisii walalamikia kupuuzwa na uongozi wa kitaifa

  • | Citizen TV
    1,583 views
    Duration: 1:15
    Baadhi ya wanachama na wagombea wa UDA katika Kaunti ya Kisii wamelalamikia kile wanachodai ni kupuuzwa na uongozi wa kitaifa wa chama hicho. Wagombea hao wanataka uongozi wa chama kuwasikiliza na kushughulikia changamoto zao kuelekea uchaguzi wa 2027