25 Aug 2026 10:14 am | Citizen TV 123 views Duration: 1:17 Katika juhudi za kuthibiti ugonjwa wa Ebola, wahudumu wa afya mashinani katika maeneo bunge ya Kanduyi na Sirisia Kylee kaunti ya Bungoma wapatiwa mafunzo na maafisa wa Wizara ya Afya pamoja na wataalamu wa afya.