Skip to main content
Skip to main content

Wahudumu wa afya ya jamii Kilifi wataka wawezeshwe kiuchumi

  • | Citizen TV
    369 views
    Duration: 2:10
    Siku chache tu baada ya rais Wiliam Ruto kuzindua mpango wa kuwapa wahudumu wa afya ya jamii vifaa vya kufanyia kazi, sasa wahudumu wa afya kaunti ya Kilifi wanaitaka serikali na wahisani kuwawezesha kiuchumi.