7 Sep 2026 10:22 am | Citizen TV 781 views Duration: 1:47 Waislamu nchini wameadhimisha siku ya kuzaliwa kwa Mtume Mohammed katika sherehe za Maulidi. Sherehe hizo zimeambatana na wito wa kuimarisha umoja, upendo na huruma miongoni mwa Waislamu na jamii kwa ujumla.