3 Sep 2026 1:10 pm | Citizen TV 2,204 views Duration: 2:17 Muungano wa wauguzi wasema kuwa wajawazito 458 na watoto 75 wamefariki tangu mgomo wa wauguzi uanze. Kaunti ya Kisumu, Nakuru, Kakamega na kajioado zimeathirika zaidi.