Skip to main content
Skip to main content

Wakazi Busia waitaka EACC kukaza kamba dhidi ya ufisadi mahakamani

  • | Citizen TV
    470 views
    Duration: 3:53
    Siku mbili tu baada ya Tume ya Maadili na kupambana na Ufisadi kumkamata karani wa Mahakama ya Busia kwa madai ya kuitisha na kupokea hongo ya Shilingi 180,000 kwa niaba ya hakimu mmoja mahakami, wakaazi wa kaunti hiyo wameitaka tume hiyo kukaza kamba ili kuwanasua kutoka kwa minyororo ya wafisadi.