- 470 viewsDuration: 3:53Siku mbili tu baada ya Tume ya Maadili na kupambana na Ufisadi kumkamata karani wa Mahakama ya Busia kwa madai ya kuitisha na kupokea hongo ya Shilingi 180,000 kwa niaba ya hakimu mmoja mahakami, wakaazi wa kaunti hiyo wameitaka tume hiyo kukaza kamba ili kuwanasua kutoka kwa minyororo ya wafisadi.