- 296 viewsDuration: 1:41Kwa muda wa miaka mingi, wakazi wa eneo la Tuthu kaunti ya Murang'a wamekuwa wakisubiri kukamilika Kwa ujenzi wa barabara ya Lami ya Tuthu kwenda Kanyenyaini, huku hali mbaya ya barabara hiyo ikiathiri sana usafiri na biashara zao.