- 440 viewsDuration: 1:54Baadhi ya wakazi wa Bungoma wanataka Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) iongezewe fedha ili kuimarisha juhudi za kupambana na ufisadi. Wakazi hao pia wanataka sehemu ya fedha zilizorejeshwa kutokana na ufisadi zitumike na EACC katika kutekeleza majukumu yake.