26 Aug 2026 10:24 am | Citizen TV 201 views Duration: 1:45 Kwa mara ya tatu mfululizo, wakazi wa eneo la Karichen, huko Kieni kaunti ya Nyeri, wakataa kujengwa kwa kiwanda cha utengezaji simiti eneo hilo wakisema kitakuwa na madhara mengi kuliko faida.