Skip to main content
Skip to main content

Wakazi wa Mageta wapata vitambulisho kwa mara ya kwanza

  • | Citizen TV
    896 views
    Duration: 2:10
    Baadhi ya wakazi wa Kisiwa cha Mageta, Kaunti ya Siaya, wamejisajili kupokea vitambulisho kwa mara ya kwanza baada ya serikali kuanza mchakato wa usajili kisiwani humo. Baadhi ya wakongwe hao walielezea masaibu waliyokuwa nayo kwa kukosa cheti hicho muhimu, ikiwemo ukosefu wa bima ya afya pamoja na kiinua mgongo cha wazee.